Call: +255 22 2668992

Archive

PROF. BISANDA AISHUKURU SERIKALI KUBORESHA MIUNDOMBINU YA OUT

Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT), Prof. Elifas Bisanda, ameishikuru Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuboresha miundombinu mbalimbali ya chuo hiki ili kiweze kuwa karibu zaidi na jamii na kushiriki moja kwa moja katika kuleta maendeleo nchini....

read more
OUT KUBORESHA MIFUMO YA TEHAMA KUIMARISHA UFUNDISHAJI.

Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (OUT) kimedhamiria kuboresha mifumo ya TEHAMA ya kufundishia kwa kuingia mkataba wa makubaliano na Chuo Kikuu Huria cha Uswisi unaolenga kuimarisha ushirikiano katika maswala ya tafiti na maendeleo kwenye eneo la ujifunzaji na ufundishaji unaotumia teknolojia ya kisasa ili kuendana na mabadilik...

read more